Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| ►
◄◄ |
◄ |
1899 |
1900 |
1901 |
1902 |
1903
| 1904
| 1905
| 1906
| 1907
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1903 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]- 4 Agosti - Uchaguzi wa Papa Pius X
- 3 Novemba - Nchi ya Panama inapata uhuru kutoka Kolombia.
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 11 Januari – Alan Paton, mwandishi wa Afrika Kusini
- 27 Januari - John Eccles, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1963
- 26 Februari - Giulio Natta, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1963
- 24 Machi - Adolf Butenandt, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1939
- 8 Juni - Marguerite Yourcenar, mwandishi na mshairi kutoka Ubelgiji
- 6 Julai - Hugo Theorell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1955
- 1 Agosti – Paul Horgan, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1955
- 19 Agosti – James Gould Cozzens, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1949
- 26 Agosti - Caroline Pafford Miller, mwandishi kutoka Marekani
- 6 Oktoba - Ernest Walton, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1951
- 22 Oktoba - George Beadle, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1958
- 7 Novemba - Konrad Lorenz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1973
- 27 Novemba - Lars Onsager, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1968
- 5 Desemba - Cecil Frank Powell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1950
- 10 Desemba - William Plomer, mwandishi wa Afrika Kusini
- 19 Desemba - George Snell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1980
- 22 Desemba - Haldan Hartline, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1967
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 22 Februari - Hugo Wolf, mtunzi wa opera kutoka Austria
- 20 Julai - Papa Leo XIII
- 1 Novemba - Theodor Mommsen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1902
- 11 Aprili - Mtakatifu Gemma Galgani, bikira nchini Italia
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=1903&oldid=1028016"
