VOOZH about

URL: https://sw.wikipedia.org/wiki/Kaburi

⇱ Kaburi - Wikipedia, kamusi elezo huru


Nenda kwa yaliyomo
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
👁 Image
Kaburi la I'timād-ud-Daulah, Agra, India.
👁 Image
Kaburi la Akbar.
👁 Image
Aina ya kaburi kwenye Père Lachaise Cemetery.
👁 Image
Hiramu ya Khufu, Misri.
👁 Image
Makaburi na majeneza ya marumaru huko Hierapolis.

Kaburi ni mahali pa kulaza maiti ya binadamu au mabaki yake.

Tendo lenyewe linaitwa mazishi au maziko na mara nyingi linaendana na aina ya ibada.

Linaweze kuwa na namna nyingi, kadiri ya utamaduni wa wahusika.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
👁 Image
Wikimedia Commons ina media kuhusu: