Li Bai (mnamo 701-762) alikuwa mshairi nchini China wakati wa nasaba ya Tang. Mara nyingi hutajwa kama mmoja wa washairi wakubwa wa China. Zaidi ya mashairi yake 1,000 yamehifadhiwa.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Li_Bai&oldid=882533"
