uimbaji (Kiswahili)
[hariri]Nomino
[hariri]uimbaji
- Sanaa au tendo la kuimba.
- Uwezo wa kuimba kwa ufasaha.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza singing
| 👁 Image |
Ingizo hili ni sehemu ya mradi wa Kuboresha Wikipedia na Wikamusi ya Kiswahili. Unaweza kusaidia kuihariri na kuongeza maana. |
Rudishwa kutoka "https://sw.wiktionary.org/w/index.php?title=uimbaji&oldid=134569"
