VOOZH about

URL: https://sw.wikipedia.org/wiki/Suwon

⇱ Suwon - Wikipedia, kamusi elezo huru


Nenda kwa yaliyomo
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
👁 Image
Suwon

Suwon (Kikorea: 수원) ni mji nchini Korea Kusini. Ni mji mkubwa wa tano katika nchi wa Korea Kusini. Kuna wakazi 1,086,904 (mwaka 2008).

Jiografia

[hariri | hariri chanzo]

Eneo lake ni 121.1 km².

👁 Image

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
👁 Image
Makala hii kuhusu "Suwon" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema.
👁 Image
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Suwon kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.