VOOZH about

URL: https://sw.wikipedia.org/wiki/Topeka,_Kansas

⇱ Topeka, Kansas - Wikipedia, kamusi elezo huru


Nenda kwa yaliyomo
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
👁 Image
Mji wa Topeka
Topeka, Kansas

Mahali pa mji wa Topeka katika Marekani

Majiranukta: 39°03′21″N 95°41′22″W / 39.05583°N 95.68944°W / 39.05583; -95.68944
Nchi Marekani
Jimbo Kansas
Kitongoji Shawnee
Idadi ya wakazi
-Wakazi kwa ujumla 122,377
Tovuti:www.topeka.org
👁 Image
Mahali pa Topeka katika Kansas na Shawnee County

Topeka ni jina la mji mkuu wa jimbo la Kansas nchini Marekani. Mnamo mwaka wa 2007, idadi ya wakazi wanaoishi mjini hapa ilikadiriwa kuwa ni 122,647. Mji ulianzishwa mnamo tar. 5 Desemba 1854. Mji upo ft 945 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]

Official sites



Miji mikuu ya majimbo ya Marekani

Alabama Alaska Arizona Arkansas California Colorado Connecticut Delaware Florida Georgia Hawaii Idaho Illinois Indiana Iowa Kansas Kentucky Louisiana Maine Maryland Massachusetts Michigan Minnesota Mississippi Missouri Montana Nebraska Nevada NewHampshire NewJersey NewMexico NewYork NorthCarolina NorthDakota Ohio Oklahoma Oregon Pennsylvania RhodeIsland SouthCarolina SouthDakota Tennessee Texas Utah Vermont Virginia Washington WestVirginia Wisconsin Wyoming

👁 Image
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Topeka, Kansas kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.