VOOZH about

URL: https://sw.wikipedia.org/wiki/Kilikia

⇱ Kilikia - Wikipedia, kamusi elezo huru


Nenda kwa yaliyomo
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
👁 Image
Kilikia katika Anatolia wakati wa Ugiriki wa Kale na Roma ya Kale.

Kilikia ni eneo la kusini mashariki mwa rasi ya Anatolia (leo nchini Uturuki).

Kadiri ya Agano Jipya, Mtume Paulo alizaliwa huko, katika mji mkuu, Tarso.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]